TABIA ya kutaka kuishi ili kuwapendeza watu wengine haimsaidii mtu ila tu kwa mambo ambayo ni ya kinidhamu na kimaadili. Uko huru kuishi kama mtu tofauti pamoja na kuishi na kushirikiana na wengine. Usijefanya jambo eti kwa sababu tu wengine nao wanalifanya au walilifanya. Jijue wewe mwenyewe kwanza na kisha ndio uamua njia ya kufuatwa bila kushawishika na watu watakuona vipi au watakusemaje?
Kuwa huru na kuwa tofauti ndio mwanzo wa kuukamilisha ubinadamu na utu wako. Usiwe nyani au kima au sokwe kuiga ya wengine.
No comments:
Post a Comment